Sunday, December 28, 2014

KUTII NENO LA MUNGU NA UTAKATIFU KWANZA.

KAMPENI YA UZIMA WA MILELE:  "KUTII NENO LA MUNGU NA UTAKATIFU KWANZA."Ukristo sio dhehebu; bali Ukristo ni mahusiano bora na Mungu.Watu wengi hudhani Ukristo ni dhehebu ambalo limeanzishwa ili kuleta ustaarabu fulani katika jamii. Wakristo wengi wanaishi maisha ya kuigiza kisa tu ni wafuasi wa kanisa fulani! Wengine wanayaacha maagizo ya Mungu na kuyaheshimu mapokeo potofu ya dhehebu fulani eti kisa tu na wao wanajiita wakristo! Wengi wanaishi maisha ya maigizo, wanatenda dhambi kwa siri huku wakijiita "wapendwa"! Ndugu yangu na rafiki yangu; hapo unajidanganya wewe mwenyewe. Hakuna dhambi unayoweza kumficha Mungu. Leo ninasema na roho yako! Yachunguze matendo yako, chunguza siri za nafsini mwako; umemtenda Mungu dhambi. Umekuwa mnafiki, umekuwa na majungu japo unajiita mkristo, umekuwa...

Thursday, December 25, 2014

UKWELI KUHUSU CHIMBUKO LA SIKU KUU YA CHRISTMAS.!

UKWELI KUHUSU CHIMBUKO LA SIKU KUU YA CHRISTMAS.! Tusiwe wanafiki, tusiwe waongo! UONGO NI DHAMBI. Mafundisho ya Yesu kazaliwa tarehe 25 Disemba yametoka wapi? Christmas sio sikukuu ya kusheherekea tarehe ambayo Yesu amezaliwa. Tukitazama ushahidi wa Kibiblia hauoneshi Yesu alizaliwa mwezi gani wala tarehe gani; hata pia tukitazama ushahidi wa Kihistoria nao unatubainishia kuwa Yesu Kristo alizaliwa KATIKATI YA MWAKA 6 kwenda wa 5 b.C. Hivyo basi Yesu Kristo alizaliwa miezi ya KATIKATI YA MWAKA wala sio mwishoni mwa mwaka! Mambo haya ni muhimu sana kwako Mkristo uelewe, sio unakwenda tu kama kipofu. Kwa ushuhuda wa kweli, katika Injili...
Page 1 of 712345Next

TUMA KWA RAFIKI :

Twitter FacebookMore

 
Kuhusu Huduma Hii | Masharti Ya Utumiaji Wa Tovuti Hii | Wasiliana Nasi | Tangaza Kupitia Tovuti Hii