Friday, May 17, 2013

Pumzi ya mwanadamu ni taa ya BWANA. - (MITHALI 20:27)

sparkle effect

PUMZI YA MWANADAMU NI TAA YA MUNGU.

Je! Ni wapi uwezapo kutenda dhambi na Mungu asikuone? Je! Waweza kuishi pasipo kuvuta pumzi?

Biblia Takatifu inasema kwamba;


"Pumzi ya mwanadamu ni taa ya BWANA; Hupeleleza yote yaliyomo ndani yake." (Mithali 20:27)

Mpendwa; kila unapopumua Mungu anakuona, hata ujifiche gizani bado tu Mungu anakuona; Je, ni nani awezaye kuishi bila kupumua? Kila uvutapo pumzi, Mungu anakuona; na kupitia hiyo pumzi yako Mungu anapeleleza mambo yote ufanyayo.

Jitahidi kila wakati unatenda mambo yampendezayo Mungu.

0 MAONI:

Post a Comment

TUMA KWA RAFIKI :

Twitter FacebookMore

 
Kuhusu Huduma Hii | Masharti Ya Utumiaji Wa Tovuti Hii | Wasiliana Nasi | Tangaza Kupitia Tovuti Hii